Thursday 28 April 2022

AJALI YAUA WATU 8 NA KUJERUHI 19

16:37 By






 


AJALI YAUA WATU 8 NA KUJERUHI 19


Watu wanane wamefarikia dunia na wengine 19 wamejeruhiwa katika ajali ya gari (Coaster T 287 CCY) mali ya Kanisa Katoliki Njombe iliyogongana na lori la makaa ya mawe, RPC Njombe, Hamis Issah amethibitisha.


0 comments:

Post a Comment